
JamiiForums
June 12, 2025 at 01:58 PM
Akisoma Bajeti Kuu ya Mwaka wa Fedha 2025/26 Bungeni, Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema Katika Bajeti ya 2024/25, Serikali ilipanga kukusanya Tsh. Trilioni 50.29, hadi Mei 25, 2025 Tsh. Trilioni 45.07 zimekusanywa sawa na Asilimia 86.6 ya lengo la Mwaka
Ameongeza kwa kusema "Serikali ya Awamu ya Sita imefanya mageuzi makubwa ambayo yameongeza mapato ya ndani, hivyo kila Mtanzania anatakiwa kuelewa kuwa Kodi yetu ndio Maendeleo yetu na Maendeleo hayawezi kupatikana kwa kutegemea Misaada, ni lazima tulipe kodi"
Soma https://jamii.app/BajetuKuu2025

👍
🚮
🖕
😭
7