
TCRA TANZANIA
May 14, 2025 at 06:16 AM
📌Wiki ya Ubunifu Tanzania 2025
TCRA inashiriki katika maonesho katika Kongamano ya Wiki ya Ubunifu yanayofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Mwl. Julius Nyerere (JNICC) tarehe 12 hadi 16 Mei, 2025. Kongamano hilo hufanyika kila mwaka, na mwak akauli Mbiu ni
Katika maonesho hayo, TCRA inatoa elimu mbalimbali ikiwemo kuhusu rasilimali za mawasiliano zinazotolewa kwa wabunifu chipukizi katika sekta ya Mawasiliano, Usalama mtandaoni pamoja na elimu ya leseni kwa wakezaji katika sekta ya Mawasiliano.
Kauli Mbiu: “Ubunifu kwa Maendeleo Bora”
#innovationweektz2025 #tcratz

👍
😂
🙏
❤️
😮
11