
TCRA TANZANIA
256.0K subscribers
Verified ChannelAbout TCRA TANZANIA
Karibu kwenye Ukurasa wetu rasmi ya WhatsApp upate Taarifa|Dondoo|Makala kuhusu huduma na Bidhaa za mawasiliano Tanzania. Simu: 0800008272 , Baruapepe: [email protected], Tovuti: www.tcra.go.tz Welcome to our Official WhatsApp channel for PublicNotices|Tips|News on communication services and products in Tanzania. T: 0800008272 , E: [email protected] , W: www.tcra.go.tz #creatingalevelplayingfield
Similar Channels
Swipe to see more
Posts

🔴 TUPO LIVE Fuatilia link hii au check bio kwa ajili ya kujiunga mubashara 🗓️: Ijumaa 16 Mei, 2025 🕕: Saa 12 Jioni 📺: YouTube @tcra_tanzania https://www.youtube.com/live/zcchUaw8DPI?si=KTbAGKdJUsGxxc60 #tcratz #innovationweektz2025 #nirahisikuwasalamamtandaoni #communicationresources #nirahisisana


📌Wiki ya Ubunifu Tanzania 2025 TCRA inashiriki katika maonesho katika Kongamano ya Wiki ya Ubunifu yanayofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Mwl. Julius Nyerere (JNICC) tarehe 12 hadi 16 Mei, 2025. Kongamano hilo hufanyika kila mwaka, na mwak akauli Mbiu ni Katika maonesho hayo, TCRA inatoa elimu mbalimbali ikiwemo kuhusu rasilimali za mawasiliano zinazotolewa kwa wabunifu chipukizi katika sekta ya Mawasiliano, Usalama mtandaoni pamoja na elimu ya leseni kwa wakezaji katika sekta ya Mawasiliano. Kauli Mbiu: “Ubunifu kwa Maendeleo Bora” #innovationweektz2025 #tcratz


Salamu za Pongezi kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA). #tcratz #who #tanzania


#BajetiWMTH2025/26 #TzDigitalTransformation #tcratz


TCRA imeshiriki katika mkutano uliowaleta pamoja Watoa Huduma za Utangazaji (CSPs) na TCRA kujadiliana kuhusu Utangazaji wa Kidijiti wa Redio sambamba na kikao cha mashauriano kuhusu uanuai wa maudhui ya utangazaji katika Ukumbi wa Mikutano wa TCRA Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, tarehe 12 Mei 2025. Wadau walioshiriki katika mkutano huo ni Watoa Huduma za Utangazaji wa Redio kutoka mikoa ya Njombe, Katavi, Songwe, Mbeya na Iringa kwa lengo la kuwaongeza uelewa wa watoa huduma kuhusu ujio wa Teknolojia ya Utangazaji wa Redio kidijiti (DSB), pamoja na kufanya mashauriano kuhusu hatua za kuongeza uanuai wa maudhui ya utangazaji yanayoakisi jamii zote, yanayoangazia sekta mtambuka za uchumi na jamii na kukuza maudhui ya ndani. Watoa huduma walipata uelewa kuhusu utangazaji wa kidijiti na kubaisha utayari wao kupokea ujio wa DSB utakaoboresha utangazaji zaidi. #tcratz #digitalsoundbroadcasting #elimukwaumma
