TCRA TANZANIA
                                
                                    
                                        
                                    
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                May 22, 2025 at 11:17 AM
                               
                            
                        
                            Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Jabiri Bakari amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Umoja wa Posta Afrika - (PAPU) Dkt. Sifundo Chief Moyo, tarehe 21/05/2025 katika makao makuu ya ofisi za TCRA jijini Dar es Salaam.
Katika mazungumzo hayo wamejadili masuala mbalimbali kuhusu ushirikiano wa TCRA na PAPU.
TCRA inaendelea kusimamia sekta ndogo ya Posta na kuhakikisha uwepo wa huduma bora na salama kwa jamii.
#tcratz #mikutanonawadauwamawasiliano #sektayaposta
                        
                    
                    
                    
                    
                    
                                    
                                        
                                            👍
                                        
                                    
                                        
                                            😮
                                        
                                    
                                    
                                        3