IslamicForum
IslamicForum
May 16, 2025 at 09:05 AM
Na historia iandike: Kwamba Trump aliingia katika kisiwa cha Waarabu "Jaziratul Arab", akakikuta hakina wanaume… kimejaa watumishi… kimejaa dhahabu… lakini kimefilisika heshima na utukufu! Trump hakutudhalilisha kwa silaha, bali kwa tabasamu. Wala hakutushinda kwa jeshi, bali kwa simu ya maongezi! Basi ni udhalili wa aina gani huu? Na ni Uislamu gani uliobakia ikiwa hatuoni katika tukio hili usaliti wa zama? Enyi watu… Hakika adui wa Mwenyezi Mungu, Trump, hakuingia katika ardhi ya Haramain kama mwizi kutoka baharini, wala kama mvamizi kwa ndege, bali aliingia kwa kupitia milango ya miji ya kifalme, katika msafara wa fahari, akipokewa kama "Faatihina" mashujaa washindi! Akapokelewa kwa heshima kuu, akapewa hazina ili achukue apendacho! Viongozi walimlaki kwa mfululizo, shingo zikalazwa mbele yake, watu wa mafuta na uamuzi wakamtolea heshima kama kwamba wahyi umeshushwa juu yake kutoka Jabal Radwa! Na kule Qatar… Washauri wa Amir na wakubwa wa dola wakamsogelea, si kama kiongozi wa taifa, bali kama...👇
Image from IslamicForum: Na historia iandike:  Kwamba Trump aliingia katika kisiwa cha Waarabu ...

Comments