
Tanzeel Foundation
May 20, 2025 at 09:51 AM
*Tanzeel Social Development Fund (TSDF)*
Changia kwa ajili ya kuuwezesha mfuko huu kutimiza malengo yake katika kuihudumia jamii.
- Kuwasaidia wasiojiweza
- Kugawa futari na daku kipindi cha mfungo wa Ramadhan
- Kusaidia mayatima, wajane, na wazee
*Fanya Mshahara wako kuwa wenye baraka!*
*Changia kupitia namba*
- *TigoPesa:* +255 776 482 582 _(Tanzeel Foundation)_
- *M-Pesa:* +255 749 782 582 _(Tanzeel Foundation)_
- *Airtel Money:* +255 696 810 202 _(Tanzeel Foundation)_
*PBZ Bank Account :* 0927087001 _(Tanzeel Foundation)_
CRDB Bank Account: 0150000T2TD00 (Tanzeel Foundation)
*Tanzeel Foundation,tumejitotolea kwa maendeleo ya kweli*
_"Sadaka yako ahueni kwa jamii_"
❤️
❤
3