MAJIVU YA FASIHI. 📖🪶
MAJIVU YA FASIHI. 📖🪶
June 9, 2025 at 07:02 PM
Jama mnamkumbuka Ferouz?... Eeh yule Ferouz Adam kinyozi... Aliyeenda kutafuta pesa, akakutana na mabazazi... Kutoka hapo...tukapata riwaya bora ya hiki kizazi... 🤭 E bwana eeh! Riwaya ya *SHAMBA LA HELA* itakamilika Ijumaa hii. Itakuwa kwenye mfumo wa nakala laini yaani PDF. Ni riwaya ya hekaheka, mapigano na mavarangati... Ni msitu wa maneno zaidi ya *Elfu hamsini na moja* kwenye kurasa zaidi ya 350. Ni kalamu ya yuleyule fanani wenu Godlove Kabati. Kwa nini uikose kazi hii adhimu?
Image from MAJIVU YA FASIHI. 📖🪶: Jama mnamkumbuka Ferouz?... Eeh yule Ferouz Adam  kinyozi... Aliyeenda...
❤️ 👍 ❤‍🔥 👊 🔥 🙏 13

Comments