
AjiraCoach Platform
June 10, 2025 at 08:51 AM
*TANGAZO LA NAFASI YA KAZI*
Uongozi wa shule ya Msingi *MWENDO* iliyopo *Kibamba Kwa Mangi - Ubungo, Dar es Salaam* unatangaza nafasi ya kazi kwa masomo yafuatayo:
➕ Mathematics & Science
➕ English & Kiswahili
➕ Social Studies & Civics
*Sifa za Mwombaji:*
1️⃣ Awe amemaliza chuo kinachotambulika na serikali
2️⃣ Awe na uzoefu wa kufundisha madarasa ya mtihani (Darasa la 4 & 7)
3️⃣ Awe muadilifu
4️⃣ Awe mchapakazi na nadhifu
*Jinsi ya Kutuma Maombi:*
Tuma CV kupitia WhatsApp: *0620303958*
🗓 *Usaili*: Jumamosi, tarehe *14/06/2025*
🕘 Saa: *2:00 asubuhi*
📍 Mahali: Shule ya MWENDO, Kibamba kwa Mangi
*Jiunge na AjiraCoach Platform*
*JIUNGE KUPITIA LINK HAPA👇*
👉 https://whatsapp.com/channel/0029Va8Ui3W42DcgM0bUEK01
#ajiracoach #nafasizakazi #fursazaajira #interviewtips #elimunaajira #scholarships #internships #ajiratanzania #tanzaniajobs