
AjiraCoach Platform
June 11, 2025 at 03:50 AM
*🚨NAFASI ZA KAZI ZA KUJITOLEA – CJM MATERNITY AND NURSING HOME CLINIC*
Kituo cha afya cha *CJM Maternity and Nursing Home Clinic* kilichopo *Bunju B – Dar es Salaam* kinakaribisha maombi kutoka kwa wataalamu wa afya kwa nafasi za kujitolea kama ifuatavyo:
*NAFASI ZINAZOPATIKANA:*
1️⃣ *Clinical Officers* – Nafasi 2
2️⃣ *Medical Attendants* – Nafasi 4
3️⃣ *Enrolled Nurses* – Nafasi 2
4️⃣ *Medical Laboratory Technicians* – Nafasi 2
*JINSI YA KUTUMA MAOMBI:*
Tuma barua ya maombi pamoja na CV kupitia:
📧 *[email protected]*
*Kwa maswali au maelezo zaidi:*
📧 *[email protected]*
📞 *0717 547 735*
📱 WhatsApp: *0782 041 150*
*Anuani ya Posta:*
*Director,*
*CJM Maternity and Nursing Home Clinic,*
*P.O. Box 11917,*
*Dar es Salaam, Tanzania.*
#ajirazaafya #kazizakujitolea #healthjobs #ajiracoach #cjmhealthcare