
Side Makini Blog
June 10, 2025 at 09:19 AM
Kuanzia Januari 1, 2025 hadi Desemba 31, 2028 – kila mtoto atapewa akaunti ya uwekezaji ya $1,000 (Tsh Milioni 2.6) kutoka serikali ya shirikisho!
💰 Akaunti hiyo:
HaitaTozwa Kodi hadi itakapotolewa
Itategemea soko la hisa
Wazazi/walezi watakuwa na udhibiti hadi mtoto afikishe umri wa utu uzima
📌 Trump asema mpango huu utasaidia vizazi vijavyo kujenga utajiri wa muda mrefu!
Una maoni gani kuhusu sera hii ya kuvutia? Tuambie ⬇️
#sidemakiniblog
