Side Makini Blog
Side Makini Blog
June 12, 2025 at 11:17 AM
🇹🇿 TANZANIA YANG'ARA KIUCHUMI! Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, ametangaza kuwa licha ya dunia kuyumba kiuchumi, 🇹🇿 Tanzania imeendelea kukuza uchumi wake kwa kasi ya kuvutia! 📌 Akiwasilisha Taarifa ya Hali ya Uchumi 2024/25 bungeni, Mkumbo alisema mafanikio yanatokana na: ✅ Usimamizi makini wa sera ✅ Miradi ya kimkakati ✅ Mshikamano wa kizalendo wa Watanzania 🗣️ “Tanzania ina mwelekeo chanya na hali himilivu ya kiuchumi,” amesema Prof. Mkumbo. 💬 Maoni yako kuhusu kasi hii ya ukuaji ni yapi? 🔁 Share | ❤️ Like | 📣 Tag Mzalendo Mwenzako #sidemakiniblog
Image from Side Makini Blog: 🇹🇿 TANZANIA YANG'ARA KIUCHUMI!  Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof...

Comments