
EfathaTV
June 6, 2025 at 08:19 AM
HAKUNA KURUDI NYUMA NI MBELE KWA MBELE.
SAA YA WOKOVU NI SASA.... 2 Wakoritho 6:2
Hii hapa tena kubwa kuliko kanisa la Efatha Kahama Shinyanga -Tanzania,
Linakuletea Mkutano Mkubwa wa Injili wa Kupanda viwango vya Umiliki,
Ukombozi, Uponyaji na Nguvu ya Neno la Mungu lenye Ufunuo
" *Karibu Yesu atakufungua na kukuweka kwenye Viwango alivyokuandalia:*
Viwango vyako vya Kimaisha
Viwango vya kiutendaji,
Viwango vya Utumishi, Viwango vya Biashara, Viwango vya Elimu yako,
Viwango vya Miliki yako.
*WATUMISHI WATAKAO TUHUDUMIA* :
* Mch Kiongozi kutoka Efatha Zanzibar *MCH HENRY NELSON*
* Mch Kiongozi Efatha Shinyanga *MCH COSTANTINE MASSAWE*
* Mch Mwenyeji Kanisa la Efatha Kahama Kijana wa Viwango *MCH NOVATUS ROBERT*
*MAHALI PA MKUTANO:*
* Viwanja vya Kanisa la Efatha Mbulu
* Namna ya kufika. Kituo Cha Phantom, Barabara ya Maji Hotel - Mtaa wa Efatha Mbulu
*MUDA WA MKUTANO*
SAA 10:00 - 12:00 jioni (EAT)
Juma Pili ni Saa 2:00 Asubuhi
SIKU NNE ZA MAAJABU YA KUTISHA NA NGUVU ZA MUNGU.
HII SIO YA KUKOSA AISEE!!!
❤️
1