
SITTA SPORTS ARENA
June 12, 2025 at 01:57 PM
*MAN UNITED WAZINDUA UZI MPYA ⚽ 👇*
Hii ni jezi mpya ya *Manchester United* kwa msimu wa 2025/26, ikizinduliwa rasmi ndani ya *Old Trafford* mbele ya jukwaa la “Sir Alex Ferguson Stand”.
Jezi ina muundo wa kisasa wenye mistari myekundu na nyeusi pembeni, ikiwa na *Snapdragon* kama mdhamini mkuu na *Adidas* kama mtengenezaji.
Ubunifu wake unaleta hisia ya heshima kwa historia ya klabu huku ukionyesha mtazamo wa kisasa wa mafanikio. Mashabiki wengi wameipokea kwa hisia chanya.
SITTA SPORTS UPDATES ⚽
