
SITTA SPORTS ARENA
June 13, 2025 at 04:19 PM
*CAMARA WA BERKANE ATAKIWA ULAYA⚽*
Villarreal CF 🇪🇦 imetuma ofa kwa RS Berkane 🇲🇦 ya €7M (Tshs Bilioni 20) kwa mkataba wa miaka mitano ili kupata saini ya Kiungo Lamine Camara (22) 🇸🇳
➡️RS Berkane hawana nia ya kumuachia kirahisi licha ya ofa hiyo na wanahitaji kumuongezea mkataba mpya.
SITTA SPORTS UPDATES ⚽
