United TZA
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                June 3, 2025 at 07:12 AM
                               
                            
                        
                            💣 UAMUZI: Bruno Fernandes amekataa ofa ZOTE za kuhamia Al Hilal. ❌🇸🇦
Licha ya ofa ya mshahara mkubwa kutoka klabu hiyo inayokipiga kwenye Saudi Pro League, Bruno Fernandes anataka kuendelea kucheza soka barani Ulaya.
Nahodha wa Manchester United anataka kubaki akicheza katika kiwango cha juu barani Ulaya. Uamuzi tayari umefanyika na Bruno anabakia Manchester United.
Hii habari imefanya siku yangu iende vizuri!