United TZA WhatsApp Channel

United TZA

35 subscribers

About United TZA

Karibu United TZA! Mahali sahihi kwa mashabiki wa Manchester United kupata taarifa zote muhimu โ€” kuanzia usajili wa wachezaji, uchambuzi wa mechi, hadi updates za kila siku. Jiunge nasi na uwe karibu na klabu yetu pendwa!

Similar Channels

Swipe to see more

Posts

United TZA
United TZA
5/26/2025, 4:14:25 AM

HERE WE GO: MATHEUS CUNHA BY: fabrizioromano โคต๏ธ Manchester United wamefikia makubaliano ya mdomo kumsajili Matheus Cunha kutoka Wolves. Baada ya taarifa ya kipekee kuhusu makubaliano na Cunha wiki iliyopita, sasa mkataba uko tayari na utatiwa saini kwa muda wa miaka mitano, ukiwa na chaguo la kuongezewa hadi mwaka 2031. Cunha alikubali kujiunga na Manchester United siku kadhaa zilizopitaโ€ฆ na sasa kila kitu kiko tayari, ikisubiriwa tu kupitiwa na kusainiwa kwa mikataba. Wolves watapokea kiasi cha pauni milioni 62.5 kulingana na kipengele cha kuvunjwa mkataba, lakini kwa malipo ya awamu-awamu, huku nyaraka zikiendelea kukamilishwa ndani ya wiki hii. Usajili wa kwanza wa majira ya joto kwa Manchester United: Matheus Cunha. DEAL DONE โœ… https://www.youtube.com/live/BRUF6mQnZ7w?si=N0SZGbdJBfJfx9-I

Post image
Image
United TZA
United TZA
6/1/2025, 2:08:23 PM

*๐ŸšจOFFICIAL: CUNHA SIGNS FOR MAN UTD* Matheus Cunha amejiunga na Man United kwa mkataba wa miaka mitano akitokea Wolves. Klabu imethibitisha taarifa hiyo. Nyaraka zote zishasainialwa na Man Utd watalipa kipengele cha kuvunja mkataba chenye thamani ya ยฃ62.5m. Hatimaye Man Utd wamekamilisha usajili wa kwanza dirisha la kiangazi! Unaupa maksi ngapi usajilu huu?? https://youtube.com/@united_tza?si=5yqjR-phKOlegJkd

Post image
Image
United TZA
United TZA
6/3/2025, 9:49:38 AM

๐ŸšจโŒ MPYA: Jadon Sancho atarudi Manchester United mara tu mkataba wake na Chelsea utakapomalizika tarehe 30 Juni. Hakukuwa na makubaliano juu ya masharti mapya ya binafsi, na Chelsea italipa faini ya ยฃ5m kwa United kutokana na hilo. Chanzo: @davidornstein Kwa hiyo tunafanyaje sasa?? Chelsea tutawaroga. #MUFC

Post image
Image
United TZA
United TZA
6/3/2025, 7:12:23 AM

๐Ÿ’ฃ UAMUZI: Bruno Fernandes amekataa ofa ZOTE za kuhamia Al Hilal. โŒ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฆ Licha ya ofa ya mshahara mkubwa kutoka klabu hiyo inayokipiga kwenye Saudi Pro League, Bruno Fernandes anataka kuendelea kucheza soka barani Ulaya. Nahodha wa Manchester United anataka kubaki akicheza katika kiwango cha juu barani Ulaya. Uamuzi tayari umefanyika na Bruno anabakia Manchester United. Hii habari imefanya siku yangu iende vizuri!

Post image
Image
United TZA
United TZA
5/21/2025, 5:54:45 PM

๐ŸšจKikosi rasmi kinachoanza kwenye fainali ya #EuropaLeague dhidi ya Spurs. Maoni yako? Tunatoboa? #MUFC || #ManUtd

Post image
Image
United TZA
United TZA
2/25/2025, 4:42:26 PM

๐Ÿšจ | HABARI MPYA: Manchester United wamemteua Christopher Vivell kuwa mkurugenzi wa usajili kwa mkataba wa kuduma baada ya kuhudumu katika nafasi hiyo kwa muda kama kaimu. Mkataba mpya utajumuisha mshahara uliopunguzwa, jambo linaloonyesha nia na kujitoa kwake kuchukua nafasi muhimu katika mchakato wa ujenzi upya wa Man. United unaoongozwa na INEOS kwa muda mrefu. [ @davidornstein ]

Image
United TZA
United TZA
2/22/2025, 7:04:22 AM

๐ŸŽ™๏ธRรบben Amorim kuhusu matumizi ya vijana.

๐Ÿ‘ 1
Image
United TZA
United TZA
2/26/2025, 1:00:32 PM
Image
United TZA
United TZA
2/16/2025, 12:39:30 PM

โ€œ๐‘พ๐’‰๐’†๐’ ๐’•๐’‰๐’† ๐’‚๐’“๐’Ž๐’š ๐’Š๐’” ๐’˜๐’๐’–๐’๐’…๐’†๐’…, ๐’‚๐’๐’ ๐’‰๐’๐’‘๐’†๐’” ๐’“๐’†๐’”๐’• ๐’๐’ ๐’•๐’‰๐’† ๐’๐’‚๐’”๐’• ๐’”๐’•๐’‚๐’๐’…๐’Š๐’๐’ˆ ๐’”๐’๐’๐’…๐’Š๐’†๐’“.โ€ _____ โ€œ๐—๐—ฒ๐˜€๐—ต๐—ถ ๐—น๐—ถ๐—ธ๐—ถ๐—ท๐—ฒ๐—ฟ๐˜‚๐—ต๐—ถ๐˜„๐—ฎ, ๐˜๐˜‚๐—บ๐—ฎ๐—ถ๐—ป๐—ถ ๐—น๐—ผ๐˜๐—ฒ ๐—น๐—ถ๐—ป๐—ฎ๐—ฏ๐—ฎ๐—ธ๐—ถ ๐—ธ๐˜„๐—ฎ ๐—ฎ๐˜€๐—ธ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—บ๐˜„๐—ถ๐˜€๐—ต๐—ผ ๐—ฎ๐—น๐—ถ๐˜†๐—ฒ๐˜€๐—ถ๐—บ๐—ฎ๐—บ๐—ฎ.โ€

Image
United TZA
United TZA
2/25/2025, 4:41:31 PM

๐Ÿšจ๐Ÿšจ๐ŸŽ™๏ธ| Rio Ferdinand kuhusu Alejandro Garnacho: โ€œUnaweza kuzungumzia ubora wake, lakini angalau yeye anaingia ndani ya box anaonyesha uwezo wake. Angalau ana ujasiri wa kuingia kwenye boksi na kusababisha vurugu na kutengeneza nafasi. Hili si jambo la kisayansi, hakuna sayansi nyuma yake โ€“ kadri unavyoingia kwenye boksi mara nyingi, ndivyo unavyopata nafasi zaidi za kufunga mabao. Kwa mimi, lazima acheze.โ€ [@FIVEUK] Nani anakubaliana na Rio??

๐Ÿ‘ 1
Image
Link copied to clipboard!