
MEFTAHUL 'ULUUM 📚🔑📚
June 13, 2025 at 07:31 AM
Aliambiwa Hassan Bni 'Alliyy _Radhwiya llaahu 'anhumaa:_
*Kwa hakika mimi ninaye binti, basi ni nani unayemuona nimuozeshe? Akasema:*
_*"Muozeshe kwa yule anayemcha Allaah; kwani hakika akimpenda basi atamkirimu na akimchukia hatomdhulumu"*_
_________
📚 Sharhu al Sunnah lil Baghwy - [ 9 /11]
👍
1