
JamiiForums
June 13, 2025 at 09:26 AM
DODOMA: Mdau wa JamiiForums.com anaeleza kuwa Daraja lililopo Kata ya Mkonze, Mtaa wa Muungano linalounganisha Mtaa wa Muungano na Goba limeharibika na halijafanyiwa maboresho kwa muda mrefu
Anadai vyombo vyote vya usafiri na wanaotembea kwa miguu wanalazimika kupita pembeni kwa kuwa eneo la katikati halipitiki
Anaongeza kuwa ikinyesha mvua ukiwa upande mmoja kati ya maeneo hayo lazima usubiri mpaka maji yapungue ndio uvuke, anatoa wito kuwa Daraja liboreshwe kwa kuwa hali ilivyo ni mateso kwa wapitaji wa hapo
Soma https://jamii.app/DarajaLaMuunganoGoba
🙏
❤️
👍
4