
JamiiForums
June 13, 2025 at 03:11 PM
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imeusogeza mbele mchezo Namba 184 wa Ligi Kuu ya NBC kati ya Yanga na Simba ambao ulipangwa kufanyika kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Juni 15, 2025
Mchezo huo sasa utafanyika Juni 25, 2025 katika Uwanja wa Mkapa kuanzia Saa 11:00 Jioni
Soma https://jamii.app/SimbaYangaJuni25

😂
👍
😅
😮
🙏
✊
❤️
💁♂️
🖕
😢
51