
JamiiForums
June 13, 2025 at 05:36 PM
DODOMA: Naibu Katibu wa Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church, Askofu Maximilian Machumu “Mwanamapinduzi” amesema taarifa kuwa Msajili wa Jumuiya za Kiraia, Emmanuel Kihampa amefungia Kanisa lao si za kweli bali lililofungiwa ni Kanisa la Glory of Christ Church ambalo halina uhusiano na Kanisa lao
Ikumbukwe, Juni 2, 2025 ilisambaa barua iliyoonesha imetoka kwa Kihampa akifungia Kanisa hilo linaloongozwa na Askofu Josephat Gwajima lakini Wanasheria wakiongozwa na Wakili Peter Kibatala wamesema majina ya Kanisa hayaendani na jina sahihi la Wateja wake (Kanisa la Glory of Christ Tanzania Church)
Soma https://jamii.app/AskofuMaximilianMachumu
😂
👍
❤️
🇹🇿
😚
😤
🙏
21