JamiiForums

JamiiForums

716.2K subscribers

Verified Channel
JamiiForums
JamiiForums
June 13, 2025 at 09:00 PM
*BAADA YA RAIS SAMIA KUKUTANA NA YANGA, SIMBA; VIONGOZI WAJIUZULU* Baada ya mgogoro wa muda mrefu kuhusu Yanga na Simba kucheza mchezo wa Ligi Kuu, Mwenyekiti wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Steven Mnguto amewasilisha barua ya kujiuzulu huku Rais wa TFF, Wallace Karia akimsimamisha Kazi Afisa Mtendaji Mkuu wa #tplb, Almasi Kasongo Haya yametokea ikiwa ni saa chache baada ya Rais Samia kufanya mazungumzo na Viongozi wa Klabu za Simba na Yanga na kisha taarifa kutoka kuwa mchezo huo uliokuwa uchezwe Juni 15, 2025 umeahirishwa hadi Juni 25, 2025 Soma https://jamii.app/TPLB_Wajiuzulu
Image from JamiiForums: *BAADA YA RAIS SAMIA KUKUTANA NA YANGA, SIMBA; VIONGOZI WAJIUZULU*  Ba...
😂 🖕 🇯🇲 🐳 😢 🤨 11

Comments