
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
June 13, 2025 at 04:41 AM
https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R
*🌹🌹JE NI WAJIBU KUOSHA KITANDA WAKATI WA KULOWANA KUTOKA NA TENDO LA NDOA❓* Darsa namba (2)
*هل يجب غسل الفراش عند تلوّثه من أثر الجماع السؤال:*
*👉Je ni wajibu kukisafisha kitanda wakati kikilowana kwa sababu ya yendo la ndoa?*
*📝Jawabu kutoka kwa Al-Allaamah imam Abdul Aziiz bin baazi (rahimahullah)*
*وإن كان الذي أصاب الفراش مذياً أو غيره من الإفرازات التي تخرج من فرج الرجل أو المرأة*
*Pindi kikiwa kile kilicho tapakaa kwenye kitanda ni madhii au kitu kingine katika maji maji ambayo hutoka katika utupu wa mume au mke*
*فيجب غسل البقعة التي أصابها ذلك السائل فقط لأن هذه الإفرازات تعتبر نجسة .*
*Basi wajibu kuosha baki ya hayo maji maji ambayo wametapakaa kitandani kwa sababu ya jimai, kwani hakika ya haya maji maji huzingatiwa najisi."*
*❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪ فتاوى اللجنة الدائمة ،و الشيخ ابن عثيمين في كتاب فتاوى العلماء في عشرة النساء ( 36 ، 42) و فتاوى منار الإسلام (1/110 ❫*
══════ ❁✿❁ ══════
*📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
*📡Subscribe my WhatsApp channel*
*https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R*
*🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa*
*https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab*
*🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga*
*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*
*VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌*
*💉Kuwa muadilifu usibadili chochote*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
❤️
😍
🙏
3