*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
June 13, 2025 at 04:41 AM
https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R *🌹🌹JE NI WAJIBU KUOSHA KITANDA WAKATI WA KULOWANA KUTOKA NA TENDO LA NDOA❓* Darsa namba (2) *هل يجب غسل الفراش عند تلوّثه من أثر الجماع السؤال:* *👉Je ni wajibu kukisafisha kitanda wakati kikilowana kwa sababu ya yendo la ndoa?* *📝Jawabu kutoka kwa Al-Allaamah imam Abdul Aziiz bin baazi (rahimahullah)* *وإن كان الذي أصاب الفراش مذياً أو غيره من الإفرازات التي تخرج من فرج الرجل أو المرأة* *Pindi kikiwa kile kilicho tapakaa kwenye kitanda ni madhii au kitu kingine katika maji maji ambayo hutoka katika utupu wa mume au mke* *فيجب غسل البقعة التي أصابها ذلك السائل فقط لأن هذه الإفرازات تعتبر نجسة .* *Basi wajibu kuosha baki ya hayo maji maji ambayo wametapakaa kitandani kwa sababu ya jimai, kwani hakika ya haya maji maji huzingatiwa najisi."* *❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪ فتاوى اللجنة الدائمة ،و الشيخ ابن عثيمين في كتاب فتاوى العلماء في عشرة النساء ( 36 ، 42) و فتاوى منار الإسلام (1/110 ❫* ══════ ❁✿❁ ══════ *📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹* *📡Subscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab* *🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌* *💉Kuwa muadilifu usibadili chochote* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
❤️ 😍 🙏 3

Comments