*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
June 13, 2025 at 04:43 PM
*https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *🌹🌹NI WAJIBU KUOGA KWA MAMBO HAYA MAWILI* Darsa namba (2) *وأما الاغتسال فإنه يجب في حالتين :* *📝wanasema ulamaa wa lajna: Ima kuoga hakika yake ni wajibu kwa moja katika hali hizi mbili:* *الثانية : أن ينزل المني من غير جماع ، فإذا أنزل الرجل أو المرأة وجب عليهما الغسل ،* *Jambo la pili (linalo wajibisha kuoga): ni kuteremka manii bila ya kufanya tendo la ndoa, pindi manii yakiteremka kwa mwanaume au mwanamke ni wajibu kuoga* *وإذا أنزل الرجل دون المرأة أو المرأة دون الرجل وجب الغسل على من أنزل منهما* *Na pindi Mume yakimtoka manii bila ya Mke au Mke yakamtoka manii bila ya Mume basi ni wajibu kuoga kwa yule yalomtoka manii* *لقول الله تعالى : ( وإن كنتم جنباً فاطهروا ) المائدة/6* *🖊️Kwa kuli yake Allah mtukufu: na pindi mukiwa na janaba basi jitwaharisheni. Suuratul maida (6)* *فالغسل يجب بالإنزال وحده وإن لم يحصل جماع ،* *Basi kuoga ni wajibu kwa kuteremka manii peke yake hatakama hapaja patikana tendo la ndoa* *ويجب بالجماع وحده وإن لم يحدث إنزال ، ويجب بهما جميعا .وبالله التوفيق .* *Na wajibu (kuoga) kwa kufanya tendo la ndoa peke yake hatakama manii hayaja teremka, ni wajibu wawili hao kuoga."* *❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪ فتاوى اللجنة الدائمة ،و الشيخ ابن عثيمين في كتاب فتاوى العلماء في عشرة النساء ( 36 ، 42) و فتاوى منار الإسلام (1/110 ❫* ══════ ❁✿❁ ══════ *📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹* *📡Subscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab* *🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌* *💉Kuwa muadilifu usibadili chochote* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
❤️ 🙏 3

Comments