
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
June 13, 2025 at 04:43 PM
*https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R*
*🌹🌹NI WAJIBU KUOGA KWA MAMBO HAYA MAWILI* Darsa namba (2)
*وأما الاغتسال فإنه يجب في حالتين :*
*📝wanasema ulamaa wa lajna: Ima kuoga hakika yake ni wajibu kwa moja katika hali hizi mbili:*
*الثانية : أن ينزل المني من غير جماع ، فإذا أنزل الرجل أو المرأة وجب عليهما الغسل ،*
*Jambo la pili (linalo wajibisha kuoga): ni kuteremka manii bila ya kufanya tendo la ndoa, pindi manii yakiteremka kwa mwanaume au mwanamke ni wajibu kuoga*
*وإذا أنزل الرجل دون المرأة أو المرأة دون الرجل وجب الغسل على من أنزل منهما*
*Na pindi Mume yakimtoka manii bila ya Mke au Mke yakamtoka manii bila ya Mume basi ni wajibu kuoga kwa yule yalomtoka manii*
*لقول الله تعالى : ( وإن كنتم جنباً فاطهروا ) المائدة/6*
*🖊️Kwa kuli yake Allah mtukufu: na pindi mukiwa na janaba basi jitwaharisheni. Suuratul maida (6)*
*فالغسل يجب بالإنزال وحده وإن لم يحصل جماع ،*
*Basi kuoga ni wajibu kwa kuteremka manii peke yake hatakama hapaja patikana tendo la ndoa*
*ويجب بالجماع وحده وإن لم يحدث إنزال ، ويجب بهما جميعا .وبالله التوفيق .*
*Na wajibu (kuoga) kwa kufanya tendo la ndoa peke yake hatakama manii hayaja teremka, ni wajibu wawili hao kuoga."*
*❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪ فتاوى اللجنة الدائمة ،و الشيخ ابن عثيمين في كتاب فتاوى العلماء في عشرة النساء ( 36 ، 42) و فتاوى منار الإسلام (1/110 ❫*
══════ ❁✿❁ ══════
*📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
*📡Subscribe my WhatsApp channel*
*https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R*
*🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa*
*https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab*
*🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga*
*https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa*
*VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌*
*💉Kuwa muadilifu usibadili chochote*
*🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
❤
❤️
🙏
3