
THE BEAR - LEARN AND CONQUER (BLC)
May 15, 2025 at 05:47 PM
Tajiri halisi hajigambi kwa mshahara, anajigamba kwa mtiririko wa pesa kutoka kwenye uwekezaji.
Kipato chako ni cha kujenga utajiri, si cha kuwapendeza wasiokujali.
Formula sahihi ni hii:
Pata → Wekeza → Tumia faida.
Usiruke hatua ya uwekezaji!

✔️
1