THE BEAR - LEARN AND CONQUER  (BLC)
THE BEAR - LEARN AND CONQUER (BLC)
May 20, 2025 at 09:31 AM
Ukianza kuongelea kuhusu kilimo unaweza ukaogopa hata kuanza Most of you mnadhani ili uanze kufanya biashara au kuanzisha kitu chochote kile basi unahitaj mtaji mkubwa sana Well you are WRONG! Sheria ya kwanza ni kuanza na chochote ulichonacho Either ni skill,watu au kiasi chochote kile ulichonacho Unaweza hisi hii ni MOTIVESHENI lakin HAPANA WHY? Moja ya sehem nzuri unaweza ukawekeza ni kwenye ARDHI/KILIMO Nikiwa chuo niliwaza kuanza kilimo cha mpunga Ila mfukoni sikuwa na hata mia mbovu Utaniuliza HOW DID YOU DO IT BEAR? I had an IDEA na what i was missing ni hela tu and other minor resources Nilitafuta watu ambitious katika circle yangu I preached the idea na finally nikapata a partner Baada ya research za kutosha i was confident enough kuanza Nilitafuta eneo lenye kukodisha shamba kwa bei chee Nilianza na heka moja tu (Hicho ndicho i was able to afford) Kwa heka 1 tuliestamate kupata gunia 10-15 za mpunga kutokana na rutuba ya eneo (unaeza pata more) Plan ilikiua ni kuvuna,kusubiria bei kupanda na kuuza We used the budget kwa ubahiri wa kutosha kufikia goal letu Tuliuza kila gunia kwa 120k Anyone can do wat i did, maybe even better ni swala la utayari NOTE: KILIMO NI KAMA KAMARI, KUNA KUPATA NA KUKOSA

Comments