THE BEAR - LEARN AND CONQUER  (BLC)
THE BEAR - LEARN AND CONQUER (BLC)
May 31, 2025 at 06:42 AM
3. Biashara Ndogo Ndogo zenye Faida Kubwa 🛵 a) Boda boda / Delivery services Ukinunua pikipiki au kuingia ubia na mwenye pikipiki, unaweza kuiendesha ama kuiweka "rental". Delivery ya chakula (Uber Eats, Piki Tanzania, Tingg, nk) inalipa vizuri kwa sasa. 🍛 b) Biashara ya chakula (Fast food au catering) Watu wa Dar wanapenda kula “fast food” – chips, mishkaki, burger, wali na samaki. Unaweza kuanzisha kibanda cha kisasa au hata ku-deliver kutoka nyumbani kupitia Apps. 👗 c) Mitumba ya kisasa na fashion Nunua mitumba grade 1 (kama jeans, tops, nk) na uiuze mitandaoni. Fashion ni kubwa sana Dar – ukijua marketing utauza sana.

Comments