tbc_online
                                
                                    
                                        
                                    
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                June 9, 2025 at 10:07 AM
                               
                            
                        
                            *Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa ufafanuzi kuhusu kanuni za matumizi ya fedha za kigeni za mwaka 2025, ikieleza kuwa malipo ya bidhaa na huduma kati ya wakazi na wageni wakiwemo watalii, yanaweza kufanyika kwa kutumia fedha za kigeni.*
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾
https://www.instagram.com/p/DKrRSBRPglG/?igsh=MW1vdHA1YmkyeGFmaA==
                        
                    
                    
                    
                    
                    
                                    
                                        
                                            ❤️
                                        
                                    
                                    
                                        1