tbc_online

tbc_online

594.1K subscribers

Verified Channel
tbc_online
tbc_online
June 10, 2025 at 06:39 PM
📍*_Dodoma_* *Madereva wa pikipiki na bajaji mkoani Dodoma, wanaojitambulisha sasa kama “Maafisa Usafirishaji,” wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwathamini na kuwawezesha kupanda hadhi kijamii na kiutendaji.* > *_Wakizungumza leo, Juni 10, 2025, katika hafla ya uzinduzi wa SACCOS ya Umoja wa Madereva wa Bodaboda na Bajaji katika viwanja vya stendi ya Chamwino-Makole jijini Dodoma, madereva hao wamesema kuwa sasa wana jina rasmi, ofisi ya kudumu, na chama cha akiba na mikopo (SACCOS) kilichozinduliwa na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde._* Soma zaidi👇🏼 https://www.instagram.com/p/DKuwWiaNlFh/?igsh=cm9jaTMzMXNxMnZ1
Image from tbc_online: 📍*_Dodoma_*   *Madereva wa pikipiki na bajaji mkoani Dodoma, wanaojit...
👍 🔥 2

Comments