
Swahili Times
June 12, 2025 at 10:18 AM
Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni kimesema Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima ameliacha jimbo hilo, na kwamba watawaletea mwakilishi mzuri.
😂
😢
👍
🙏
😮
28