
Swahili Times
June 12, 2025 at 01:58 PM
Tanzania itakuwa mwenyeji wa Tuzo za Dunia za Utalii (World Travel Awards – WTA) kwa Afrika na Kanda ya Bahari ya Hindi kwa mara ya kwanza Juni 28, mwaka huu ambapo wageni zaidi ya 500 kutoka kote duniani wanatarajiwa kuhudhuria.

👍
❤️
😂
🙏
19