
Swahili Times
June 12, 2025 at 02:24 PM
"Nipende kuwafahamisha Watanzania kuwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, tutaugharamia kwa fedha zetu wenyewe na zoezi hilo limekamilika." - Dkt. Mwigulu Nchemba, Waziri wa Fedha akisoma Bajeti Kuu bungeni

😂
👍
❤️
🙏
😢
😮
26