
Swahili Times
June 13, 2025 at 11:02 AM
Tanzania na Rwanda zimetiliana saini Hati ya Makubaliano (MoU) ya uimarishaji mpaka wa Kimataifa baina ya nchi hizo mara baada ya kukamilika kwa Kikao cha Kamati ya Pamoja cha Wataalamu (JTC) kati ya Tanzania na Rwanda kilichofanyia katika mji wa Ngara mkoa wa Kagera.

👍
😂
❤️
🙏
😢
😮
16