
Swahili Times
June 14, 2025 at 07:31 AM
Shilingi ya Tanzania imeimarika kwa kasi na kuwa miongoni mwa fedha zinazofanya vizuri zaidi duniani. Hii inatokana na kuongezeka kwa mapato ya dola kutoka sekta za dhahabu, kilimo, utalii na usafirishaji, pamoja na kanuni mpya zilizowekwa kuhusu matumizi ya fedha za kigeni nchini.

😂
❤️
🙏
9