*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
*🌹🌹Mafunzo sahihi ya ndoa*
June 14, 2025 at 10:40 AM
*https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *🌹🌹YA KUYAZINGATIA MWANAMMKE WA KIISLAM WAKATI WA KUFANYA KAZI* *فيجوز للمرأة أن تعمل بضوابط، ذكرناها في فتاوى سابقة.* *Inafaa kwa Mke kufanya kazi kwa kuzingatia vigezo tulivyo vitaja katika fatwa zilizo tangulia* *منها: أن يكون العمل في ذاته مباحا، وإذن زوجها، والالتزام بلبس الحجاب الشرعي،* *Miongoni mwa hivo vigezo: kazi yenyewe iwe ya halali, na apewe ruhusa na mumewe, ana avae mavazi ya hijabu ya kisharia* *والبعد عن مخالطة الرجال، أو الخلوة برجل أجنبي عنها.* *Na iwe mbali na kuchanganyika na wanaume, au kujitenga na mwanaume wa kando* *وذكرنا أن المرأة إذا كانت مكفية بنفقة زوجها، أو أبيها، وليست في حاجة إلى العمل؛* *Na tukataja ya kwamba hakika ya mke yakiwa yanamtosha matumizi ya mumewe au baba yake, basi hakuna haja ya kufanya kazi* *فقرارها في بيتها خير لها، وأصون لعرضها، وأبعد لها عن أسباب الفتنة.* *Kutulizana nyumbani kwake ni bora zaidi kwake, kwaajili ya kuilinda heshma yake, na kujiweka mbali na sababu za fitna* *ومتى جاز لها العمل، فلها أن تساعد في الإنفاق على البيت.* *na muda ambao itafaa kwake kufanya kazi, basi jukumu lake kumsaidia mumewe kwa matumizi ya nyumbani* *وليس للزوج أن يجبرها على العمل، أو على النفقة على البيت،* *na haitofaa kwa mume kumlazimisha mkewe juu ya kufanya kazi, au kumlazimisha juu ya kutoa matumizi ya nyumbani."* *❪📚❫ المصْــــدَرُ: ❪ الفتوى: 175825. وانظر أيضا الفتاوى: 28006، 75581، 53828، 445978.❫* ══════ ❁✿❁ ══════ *📓 ✍️ Abou hudaa Al-jaziiriyyi حفظــــــــــه اللــــــــــه تعالــــــــــى ورعــــــــــاه📖* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹* *📡Subscribe my WhatsApp channel* *https://whatsapp.com/channel/0029VahMBH0Gk1G2rC04T11R* *🔽Jiunge na group la mafunzo sahihi ya ndoa* *https://chat.whatsapp.com/FW4aG9M68ruLjzC53NoNab* *🔽Hii ni channel maalum ya telegram kwajili ya mafunzo sahihi ya ndoa tu gusa link hii hapa chini ili kujiunga* *https://t.me/Mafunzo_sahihi_ya_ndoa* *VUNA THAWABU KWA KUSAMBAZA KWA WENGINE👌* *💉Kuwa muadilifu usibadili chochote* *🌹Mafunzo sahihi ya ndoa🌹*
🙏 1

Comments