Christopher Peter - #MtotoNiMalezi
                                
                                    
                                        
                                    
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                June 16, 2025 at 06:09 PM
                               
                            
                        
                            Kila Mtoto Ana Mahitaji Yake!
Huduma jumuishi ni njia ya kujenga fursa sawa kwa wote — bila kumwacha mtoto nyuma.
Kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022, takribani asilimia 49 ya Watanzania ni watoto chini ya miaka 18 — jambo linaloonyesha wazi kuwa mustakabali wa Taifa letu uko mikononi mwao.
#mtotonimalezi #hudumajumuishi #fursasawakwawatoto
                        
                    
                    
                    
                        
                                    
                                        
                                            🙏
                                        
                                    
                                    
                                        2