
🧣THE REAL VOICE🧣
June 15, 2025 at 10:12 AM
RAFIKI
🗣️Siri ya kuwa na maisha yenye amani si kuwa na kila kitu, bali ni kujifunza kuthamini kile ulichonacho kwa sasa.
🌿 Ulichonacho leo ni ndoto ya mtu mwingine. Jifunze kushukuru.