
๐งฃTHE REAL VOICE๐งฃ
112 subscribers
About ๐งฃTHE REAL VOICE๐งฃ
Welcome ๐ dear friends,FOLLOW AND SHARE OUR CHANNEL to learn and motivate ourselves in daily life
Similar Channels
Swipe to see more
Posts

NISAIDIE KIWAFIKISHIA UJUMBE HUU WADOGO ZANGU HUKO WALIPO CHUO kinaweza kuwa CHOO Mkumbushe kuwa Maisha ya CHUO ni sawa na BONGO MOVIE watu wengi huigiza. Hata yule wa MUSOMA vijijin atasema kwao DAR. 1. Mwambie anaenda kusomea taaluma sio kazi. Anaweza kusoma Uhasibu akawa Dobi...Anaweza somea Ualimu akawa mhudumu wa Bar au Boda boda. 2. Mwambie Kufaulu Taaluma sio Kufaulu maisha. Wapo watu wenye elimu kumzid yeye ila hawana ajira. 3. Mwambie akifika chuo atakutana na watu wa mikoa tofauti na hata majiji. Ila akumbuke anatokea kijijini au wilaya iliyo duni, tena kule ndanindani... Hivyo asijikweze ili aonekane 4. Mwambie Marafiki wa chuo hubadilika kila baada ya semester. Kuendelea kung'ang'ania wale wa awali ataisoma namba....Akumbuke chuo ndiko Muumini hujifunza kwenda Club..kulewa na kuvaa nguo za ajabu 5. Mwambie makundi makundi chuoni humaliza hundi mfukoni... Atapata marafiki wapenda starehe. Pesa zake zitaisha 6. Mwambie Boom huwa linakuja ila Laki5 ya chuoni sio Laki5 ya nyumbani....hela ya chuoni huisha haraka na bila mpangilio hivyo awe makin ktk matumiz yake 7. Mwambie chuoni hakuna. NDOA ila kuna uzinzi.. Hivyo aachane kubeba majuk ndoa ikiwa kaenda kusoma. 8. Mwambie wahadhiri (Lecturers) wa kitanzania wanatamaa ya ngono hivyo akiwa mvivu darasan bas atafeli na ili apewe Marks itabid awe tayar kumvulia chupi kila muhadhir ambao weng wao wagonjwa 9. Mwambie Chuoni kuna Makanisa na Misikiti. Wanafunzi ni zaidi ya 1000 lakini waumini ni wachache. Akumbuke kusali. 10. Mwambie kama ni wa kike kuwa aridhike na hali ya nyumban. Asifikirie kutafuta SPONSOR ili kupunguza ugum wa maisha .. Atajiingiza ktk matatizo makubwa 11. Mwambie kuwa asiwadharau watu alio soma nao nyuma kisa hawajapata nafas kufika chuo.. Siku akimaliza chuo wapo atao wakuta wana biashara kubwa hivyo kumpa kibarua 12. Mwambie Simu na nguo za gharama ni muhimu lakini sio lazima... Hivyo asipende tumia vibaya pesa ambayo anapewa kwa awamu mana siku atazikumbuka akimaliza masomo 13. Mwambie marafiki wanaokuwa naye kipindi hana hela asiwasahau.. 14. Mwambie chuoni kuna watumishi wanao jiendeleza..husoma huku wakiendelea kupokea mshahara wengi wao ni waume na wake za watu.. Hawa ndo wanao tumia pesa zao kulaghai mabint na vijana 15.Mwambie pia baada ya kumaliza chuo haina maana amefanikiwa maisha. Hapa ndipo msoto mpya unapoanzia... Anapo waona kaka na dada zake wamemaliza chuo ila wapo tu mtaan asifikir ni wazembe ila usawa na mfumo unabana 16. Mwambie Maisha ni mafupi sana Adumu kumcha Mungu na kufanya mambo mazurii, Lastly Asimdharau mtu yeyote.,....Akumbuke na azingatie kuwa kuna maisha baada ya chuo... 17. Mwambie asijisahau sana maana mtaani kugumu.. Mabinti wenye DEGREE wana amua kuolewa na vibabu nao vijana kutembea na wazee sababu ya kukosa ajira......... Na Atambue kuwa leo hii dreva boda boda au bajaji ana uhakika wa kuilisha familia yake kila siku kuliko mhitimu wa chuo kikuu. Hivyo asiwe na dharau kuwa hawez olewa na mtu mwenye elimu ya chini 18. Mwambie kuwa pia akumbuke sio kila dreva au konda hajasoma.. Watu wana vyeti vyao na ufaulu mzuri ila hakuna kazi wamejiongeza. Kama haelewi muache tutakutana Mtaani. MWISHO. Nimeona kushere nanyi makala hii kutokana na maisha ya BAAADHI ya wanafunzi huanza kuaharibikia chuoni kutokana na kuwa na Uhuru uliopitiliza , Vishawishi na changamoto zingine huwaponza kufanya maamuzi yasio kua sahihi. Makundi na marafiki huwaponza kuingia kwenye starehe na anasazingine Kisha kupoteza malengo yao ๐ Shere ujumbe huu na wengine wapone . Sema na ndugu yako asipokusikia muache. Sema na mwanao wazi kua chuoni sio sehem yakuanzisha mausiano ni sehem yakupita kwaajili ya kutimiza ndoto zake๐ Kumbuka tunaishi kwenye dunia ambayo kila kitu nibiashara mwanao Anaweza kutumikishwa kingono na asilipwe na anae mtumikisha halipwi wanalipwa wanaosambaza video za utupu wawatu wengine kwa wingi wa upumbavu wao. Mpendwa dada huko ulipo naomba utambue mwanaume yoyote anaekuomba UMTUMIE au mpige picha za utupu huyo sio binadamu mwenzio nishetani ndani ya mwili wa mwanadamu hivyo Usikubali na ikiwezekana muepuke haraka๐ญ Mabint wengi wanapoteza thamani yao kwasababu yakutamani vitu vidogo visivyo nguvu yakushikilia maisha yao. Yapo mengi nayo taka kusema lakini kalamu yangu imeisha wino hivyo naomba kwa hayo machache yachukue yakusaidie . > ๐งฃTHE REAL VOICE ๐งฃ...๐น๐ฟโ๐พ

๐ญHIII INAUMIZA MNO FIKIRIA ๐ญ. Unapotupa kile kisichokuwa kwenye matumizi yako ushawahifikilia yule anaelishukuru jalala linalompa chakula. Umebalikiwa watoto unawaita mbwa umewahifikilia kilio cha mgumba anae jificha na tabasamu la watoto sio wake. Kipindi unawaza kununua gari lakifahari umewahikumfikiria yule anaeteseka kwakukosa miguu. Kipindi unawaza kutafuta pesa umewahikumfikiria yule tajiri ambae pesa zake zinakwisha hospital kupigania uhai wake. Wakati unatumia nyumba kama furaha ulio nayo ivi ulisikia shukurani yaaliekaribishwa sakafuni na kupata usingizi uliowapa mashaka. Kabla ya kutaka usifiwe kwa rangi nzuri uliyopaka kwenye kucha zako achanikukumbushe yule aliekosa mikono kabisa. Asante ya kumvusha kipofu barabara ni bora kuliko dhambi utakazochuma dakika chache baada ya video ya connection uliomba . Dunia inatupa moja ya mawili inayoyamiliki wakati unafurahi jua kuna mtu anahuzunika mda huo . ๐๐ฟMSHUKURU MUNGU KATIKA KILA JAMBO NA KILA WAKATI > ๐งฃTHE REAL VOICE ๐งฃ

UJUMBE WA LEO | NUKUU YA HEKIMA YA MOYO USIKATE TAMAA Maisha si rahisi kila siku, lakini kila siku ni nafasi mpya ya kusonga mbele. Wakati mwingine hutapata faraja kwa watu, lakini utaupata ukimya unaokuambia bado unaweza. Ukipigana leo kwa machozi, kesho utapumua kwa tabasamu. Usitegemee dunia ikuone โ mtegemee Mungu akuinue. Usitegemee huruma ya watu โ jifunze kupigania ndoto zako kimya kimya. Na kamwe usijione mdogo, kwa sababu ndoto zako ni kubwa kuliko changamoto zako. Leo pigana tena. Simama tena. Omba tena. Amini tena. Maana Mungu haachi anayejitahidi. > ๐งฃTHE REAL VOICE ๐งฃ...โ๐พ

*โ๏ธ PENCIL:* *"I'm sorry..."* ๐ *๐ฉถ ERASER:* *"For what?? You didnโt do anything wrong."* ๐ *โ๏ธ PENCIL:* *"I'm sorry... You get hurt because of me. Every time I make a mistake, you're always there to erase it. But as you make my mistakes disappear, you lose a part of yourself and get smaller each time."* ๐ข๐ญ *๐ฉถ ERASER:* *"Thatโs true, but I donโt really mind. ๐ You see, I was made to do this โ to help you whenever you do something wrong. Even though I know Iโll be gone one day, Iโm happy with my job. So please, stop worrying. I hate seeing you sad."* โบ๏ธ๐ *MORAL OF THE STORY:* ๐ *Our parents are like the eraser โค๏ธ, while we are the pencil โ๏ธ. They're always there, cleaning up our mistakes. Along the way, they get hurt, they grow older, and eventually, they fade away.* ๐ข ๐ *Cherish your parents. Care for them. Love them deeply and treat them with kindness every single day.* ๐ ๐ *May God bless our parents with long life, and if they are no longer with us, may their souls rest in perfect peace. AMEN.* ๐๏ธโค๏ธ

Kwa kiingereza USIJILAZIMISHE kufanikiwa kwa kutumia njia ambazo wengine wametumia, kila mtu ana njia yake ya kipekee. Kuna watu wamefanikiwa kupitia VIPAJI vyao maana vipaji vyao vimewatambulisha na kuwasaidia kufanikiwa katika maisha yao. Wengine wamefanikiwa kupitia ELIMU yao. Mungu amewapa uwezo wa KIPEKEE wa kiakili, na umewasaidia kufanikiwa kupitia kazi za wengine au kazi zao wenyewe. Wapo waliopewa uwezo wa kufanya BIASHARA, na njia hii imewasaidia kuwa watu WAKUBWA katika jamii zao. Jambo la MUHIMU zaidi kujua ni kwanza njia ambayo MUNGU amekupa ili kukufanikisha. Kisha, wekeza ndani yake na ufanye kazi kwa bidii. Acha WIVU kwa wengine. Kila mtu ana nafasi yake ya kufanikiwa. Mwaka huu, ZINGATIA eneo lako, na MUNGU atakufanikisha. > ๐งฃTHE REAL VOICE ๐งฃ...โ๐พ

๐ฉท ๐ค ๐ค ๐ฉท ๐ฉท ๐ค ๐ฉท ๐ค ๐ฉท ๐ฉท ๐ค ๐ค ๐ฉท ๐ฉท ๐ค ๐ค ๐ฉท โก๏ธ _*๐๐๐๐ GIRLS*_ *```๐๐ฆ๐๐ธ๐ฃ๐๐๐ฆ ๐๐๐๐ ๐คโ๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐๐ โ๐๐๐๐กโค๏ธ ๐กโ๐๐ *``` *๐๐ฆ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐ฐ๐๐๐ฒ ๐ผ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐ก ๐กโ๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐กโ๐๐ , ๐๐๐ข'๐๐ ๐ถ๐ข๐ก๐ ๐ต๐๐๐ ๐บ๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐'๐ก ๐๐๐ก ๐๐๐ฆ๐๐๐ ๐๐ข๐ก ๐ฆ๐๐ข ๐๐๐ค๐ ๐๐ ๐๐๐ก๐ก๐๐ ๐คโ๐๐ก๐๐ฆ๐๐ซ* > ๐งฃTHE REAL VOICE ๐งฃ...โ๐พ

UJUMBE WA LEO - MAHUSIANO Wapendane kwa vitendo, si kwa maneno tu. Maana moyo wa kweli hauishi kuonyesha thamani ya yule anayempenda. Usisubiri apotee ndipo ujue thamani yake. Weka juhudi kila siku. Sema "nakupenda", lakini pia thibitisha kwa matendo. Mahusiano ni bustani โ huinawiri inapotiwa maji ya uaminifu, heshima, na kujali. Kumbuka: Penzi la kweli halijifichi kwenye maneno matamu, bali huishi kwenye matendo ya kimya lakini yenye maana.

> ๐น๐นNUKUU YA LEO๐น๐น Kuna wakati utalazimika kuwa KIMYA. Ndio, kuna wakati utalazimika KUPOTEA na KUTOONEKANA kama ulivyozoeleka. Moja ni pale ambapo unahitaji muda wa KUPONA. Pengine umeumizwa KIHISIA, au umeumizwa kwenye eneo la PESA; unahitaji kupata utulivu wa peke yako kujipanga UPYA. Wakati mwingine ni pale UNAPOBADILI MAJIRA ya maisha yako. Inawezekana unabadilisha kitu cha KUFANYA ambacho watu wamezoea, unahitaji muda wa kujipanga UPYA ili UIBUKIE kwenye kitu KIPYA, hapa lazima UJIPANGE. Usijisikie vibaya KUPOTEA KWA MUDA MFUPI ili UIBUKE ukiwa MWENYE NGUVU ZAIDI, ni sehemu ya mchakato wa kuwa MTU MKUU kwenye maisha. > ๐งฃTHE REAL VOICE ๐งฃ...โ๐ฟ

KUANZIA SASA AMINI HILO. utafanikiwa peke yako. Hakuna kitu kigumu maishani isipokuwa kuwa na imani ndani yako na kufungua moyo wako kwa sababu yako. Utafanikiwa. Tambua kuwa hakuna lisilowezekana chini ya jua maadamu uko hai na unaishi. Usikate tamaa. Amini kwamba hakuna kinachoweza kukuzuia isipokuwa mbingu. โ๐ฟ > ๐งฃTHE REAL VOICE ๐งฃ...โ๐พ

Marafiki wawili walipanga chumba kimoja, Siku Fulani, mmoja kati yao aligundua amepoteza shilingi elfu 10 yake. Na kwasababu wanaishi wawili, hakua na option zaidi ya kumuuliza rafiki yake. "Umeiona elfu 10 yangu?" Rafiki yake akajibu, "Ndio, niliichukua wakati umelala sikutaka kukuamsha" Ishu iliishia hapo hapo, na maisha yakaendelea. Siku chache mbele, wakati anapanga vitu yule aliyepoteza hela akaiona elfu 10 yake kwenye begi lake mwenyewe. Akamfata rafiki yake na kumuuliza, "Kwanini ulisema umeichukua elfu 10 yangu wakati kiuhalisia ni mimi nilisahau nilipoiweka?" Rafiki akatabasamu, Kisha akamjibu. "Naogopa sana uaminifu ukiingia mashaka, muda mwingine kuilinda amani ni bora kuliko kutaka kuthibitisha hoja " Kwenye maisha maelewano ni bora kuliko pesa. Urafiki wa kweli unajengwa na KUAMINIANA sio kusema NIAMINI. > ๐งฃTHE REAL VOICE ๐งฃ....โ๐พ