
🧣THE REAL VOICE🧣
June 15, 2025 at 10:47 AM
Unaweza usielewe hili lakini jitahidi sana uliweke akililini .
Kwenye MAISHA tunayoishi unakutana na watu wengi tofauti TOFAUTI wanaume kwa wanawake ,mabinti na vijana wa kiume .
TUNASAIDIA WENGI NA TUNASAIDIWA NA WENGI nenda hapa sasa 👇👇👇👇👇
JIFUNZE SAN kumchunguza MSAADA unaotaka kumpa mtu kabla ya kumpa MSAADA HUO
❤️
1