🧣THE REAL VOICE🧣
🧣THE REAL VOICE🧣
June 15, 2025 at 11:01 AM
Mwanaume ambaye anapanga kukuoa au uko naye kwenye mahusiano ndiye unapaswa kumsikiliza zaidi kuliko marafiki zako. Hutaolewa na rafiki zako kumbuka hilo. Ila angalia na Mambo ya kuyasikiliza, mambo mabaya usiyape nafasi. Angalizo;- Fahamu lipi usikilize na lipi usisililize Ila yote katika yote tumia hekima kukataa wazo au kitu ambacho anakwambia na unaona siyo sahihi... Usitumie lugha ambayo inaweza kuvuruga amani ya mahusiano yenu... Tunaelewana? Nakupenda sana 😢
❤️ 1

Comments