🧣THE REAL VOICE🧣
🧣THE REAL VOICE🧣
June 16, 2025 at 09:38 AM
Kusamehe si kwamba umesahau kilichokufanyika, bali ni kuchagua kutobeba maumivu hayo tena... Ni zawadi unayojipa mwenyewe kabla hujampa mwingine. Unapomsamehe aliyekuumiza, hauhalalishi kosa lake unajipa uhuru wa kuishi bila chuki, bila mzigo wa uchungu unaokula ndani kwa ndani. Kusamehe ni dalili ya moyo uliojaa nguvu, si udhaifu... Ni hatua ya kuwa huru kwa ajili ya amani yako mwenyewe...
❤️ 1

Comments