AJIRA FASTA FORUM
AJIRA FASTA FORUM
June 7, 2025 at 07:39 PM
*TANGAZO LA KAZI* Mkuu wa shule, shule ya Sekondari MTAPA iliyopo Halmashauri ya wilaya ya wanging'ombe anatangaza nafasi za kazi zifuatazo: 1. Mwalimu wa PHYSICS nafasi moja 2. Basic Mathematics nafasi moja Waombaji wawasilishe: 1. Barua ya maombi 2. Vyeti vyote vya Taaluma 3. CV Maombi yote yatumwe Kwa Mkuu wa shule Kwa barua pepe: [email protected] Muda wa kutuma ni kuanzia tarehe 05/06/2025 Hadi Tarehe 15/06/2025 Kwa maulizo Simu namba 0769409660/0678409660

Comments