AJIRA FASTA FORUM
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                June 7, 2025 at 07:39 PM
                               
                            
                        
                            *TANGAZO LA KAZI* 
Mkuu wa shule, shule ya Sekondari MTAPA iliyopo Halmashauri ya wilaya ya wanging'ombe anatangaza nafasi za kazi zifuatazo:
1. Mwalimu wa PHYSICS nafasi  moja
2. Basic Mathematics nafasi moja
Waombaji wawasilishe: 
1. Barua ya maombi 
2. Vyeti vyote vya Taaluma
3. CV
 Maombi yote yatumwe Kwa Mkuu wa shule Kwa barua pepe: [email protected]  
Muda wa kutuma ni kuanzia tarehe 05/06/2025 Hadi Tarehe 15/06/2025
Kwa maulizo Simu namba 0769409660/0678409660