AJIRA FASTA FORUM
AJIRA FASTA FORUM
June 11, 2025 at 04:29 AM
*TANGAZO LA NAFASI YA KAZI.* Uongozi wa shule ya Msingi MWENDO iliyopo KIBAMBA KWA MANGI -UBUNGO, DAR ES SALAAM unatangaza nafasi ya kazi kwa Masomo yafuatayo; + MATHEMATICS & SCIENCE + ENGLISH & KISWAHILI + SOCIAL STUDIES & CIVICS Sifa za mwombaji. 1. Awe amemaliza chuo kinachotambulika na serikali. 2. Awe na uzoefu wa kufundisha hasa madarasa ya mtihani (yaani 4&7) 3. Awe muadilifu 4. Awe mchapakazi na nadhifu. Kwa yeyote mwenye sifa! Tuma CV kwenda WhatsApp namba: 0620303958 *Usaili utafanyika siku ya JUMAMOSI ya tarehe 14/06/2025 kuanzia saa 2:00 asubuhi shuleni MWENDO _kimbamba kwa mangi. *

Comments