Side Makini Blog
Side Makini Blog
June 13, 2025 at 11:29 AM
Serikali ya Tanzania yamwaga fedha kwa maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa 2025, unaotarajiwa kufanyika Oktoba! 💸 Jumla ya Sh1 trilioni zimetengwa kwa maandalizi na uendeshaji wa uchaguzi huo. 📊 Dk Mwigulu Nchemba amesema kuwa kati ya Julai 2024 hadi Mei 2025, tayari Sh741.5 bilioni zimetumika. 🧾 NEC imetengewa Sh378.2 bilioni kwa mwaka wa fedha 2025/26, huku Sh316.2 bilioni zikienda moja kwa moja kwenye uchaguzi. Je, unadhani fedha hizi zinatosha au ni nyingi kupita kiasi? 💬 Tupe maoni yako 👇 #sidemakiniblog
Image from Side Makini Blog: Serikali ya Tanzania yamwaga fedha kwa maandalizi ya Uchaguzi Mkuu wa ...

Comments