Side Makini Blog
Side Makini Blog
June 14, 2025 at 02:42 PM
Baada ya tamasha lake kubwa lilofanyika Juni 13, 2025, Diamond Platnumz sasa anateka mashabiki moja kwa moja kupitia Meet & Greet ya kifahari jijini London! 🎟️ Kukutana, kupiga picha & kusalimiana naye? Lazima ulipe £55 (Tsh 165,000) – na hii ni bila tiketi ya show! 📅 Meet & Greet: June 14 – 17 🕒 Tiketi zinapatikana hadi June 16, saa 2:00 asubuhi 🔥 Hakika Diamond si wa kupatikana tena bila malipo – huu ni uthibitisho wa hadhi yake mpya kimataifa! #sidemakiniblog
Image from Side Makini Blog: Baada ya tamasha lake kubwa lilofanyika Juni 13, 2025, Diamond Platnum...

Comments