Side Makini Blog
Side Makini Blog
June 15, 2025 at 06:16 PM
Serikali ya Marekani inafikiria kuongeza vikwazo vya kusafiri kwa kuweka zuio kwa raia wa nchi 36 – ikiwemo Tanzania – kuingia nchini humo. ⚠️ Kulingana na barua ya siri iliyovuja, nchi hizi zina siku 60 kushughulikia changamoto mbalimbali, zikiwemo: Raia wake kukaa Marekani kinyume cha sheria (overstay) Kukosa ushirikiano wa kiusalama Vitambulisho na pasipoti zisizo salama Baadhi ya raia wake kuhusishwa na ugaidi au chuki 📍Taarifa hii imevuja kupitia vyombo vya habari vya Marekani, ikiwemo Reuters na Washington Post. Maoni yako ni yapi kuhusu hatua hii ya Marekani? 🔁 Share | 💬 Comment | ❤️ Like #sidemakiniblog
Image from Side Makini Blog: Serikali ya Marekani inafikiria kuongeza vikwazo vya kusafiri kwa kuwe...

Comments