
Side Makini Blog
June 17, 2025 at 08:05 AM
Umoja wa Mataifa (UN) umetangaza kuwa utalazimika kupunguza kwa kiwango kikubwa misaada ya kibinadamu duniani kote kufuatia kukatwa kwa ufadhili mkubwa.
🔻 Bajeti ya misaada ya kiutu ya 2025 sasa imepunguzwa kutoka $44B hadi $29B
❌ UNHCR kufuta ajira 3,500+ na kupunguza 30% ya gharama za wafanyakazi
🤒 Athari kubwa zatarajiwa kwenye:
Misaada ya dharura
Chanjo za dharura
Usambazaji wa dawa za HIV
🇺🇸 Marekani, iliyokuwa mfadhili mkuu, imepunguza misaada ya kigeni tangu kurejea kwa Rais Donald Trump madarakani.
Maoni yako ni yapi kuhusu hatua hii ya UN?
💬 Tuambie, 🔁 Share, ❤️ Like
#sidemakiniblog
