Side Makini Blog
Side Makini Blog
June 18, 2025 at 01:08 PM
Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamisi Kigwangalla, amemtaka Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba kuendelea kukopa iwapo mikopo hiyo inaleta maendeleo kwa wananchi. 🗣️ “Tulikopa tukajenga mradi wa maji Ziwa Viktoria, kutoka 21% hadi 90% ya upatikanaji wa maji – hiyo ni thamani halisi ya deni!” 💧 Akitolea mfano wa vijijini Nzega Puge, Kigwangalla asema alichimba visima mara 3 bila mafanikio hadi deni la serikali lilipoleta suluhisho la maji. Je, ni sahihi kuendelea kukopa kwa maendeleo ya kijamii? 💬 Tuambie maoni yako! #sidemakiniblog
Image from Side Makini Blog: Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamisi Kigwangalla, amemtaka Waziri wa ...

Comments