𝔗𝔰𝔥𝔞𝔩𝔞 𝔗𝔳
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                May 30, 2025 at 07:34 PM
                               
                            
                        
                            Tuambie unapoenda tukupeleke na MERCEDES BENZ.
Hii ni kwa bei Ganda la ndizi, 45,000 unaenda Hadi Arusha, wanaita R-Chuga, tokea jiji la kibiashara Dar!
Lakini bwana wee, ndani maunyama kama yote..
1. Onboard DSTV
2. Free drinks and bites
3. 5G+ Wi-Fi
4. Full A/C
5. Na Choo ndani (hakuna chimba dawa porini)
6. Siti sofa (2*2) nene!! Legroom ya kutosha.
Unasubiri nini?
Twenzetu na BENZ Kila siku.
#2follow👇🏽
https://whatsapp.com/channel/0029VaAHnT1KAwEfUAp7F300
Maana ufalme una Bwana!
Zaburi 22:28 🌴🌊☀️
                        
                    
                    
                    
                        
                        
                                    
                                        
                                            👍
                                        
                                    
                                        
                                            🙏
                                        
                                    
                                    
                                        3