Swahili Times
                                
                                    
                                        
                                    
                                
                            
                            
                    
                                
                                
                                June 17, 2025 at 07:06 AM
                               
                            
                        
                            “Sheria zinazosimamia Mifuko ya Hifadhi ya Jamii zinakataza makato yoyote ikiwemo kodi katika malipo ya mafao ya wastaafu. Hata hivyo, pale inapobainika kuwa mstaafu ana deni la mkopo kutoka serikalini ambalo halijalipwa kikamilifu hadi anapostaafu, sehemu ya mafao yake hukatwa kwa ajili ya kufidia deni la mkopo huo.” -  Patrobas Katambi, Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu)
                        
                    
                    
                    
                        
                        
                                    
                                        
                                            ❤️
                                        
                                    
                                        
                                            👍
                                        
                                    
                                        
                                            😂
                                        
                                    
                                        
                                            😢
                                        
                                    
                                        
                                            😮
                                        
                                    
                                        
                                            🙏
                                        
                                    
                                    
                                        26