Swahili Times

Swahili Times

780.0K subscribers

Verified Channel
Swahili Times
Swahili Times
June 17, 2025 at 09:26 AM
Wakili Peter Madeleka ameteuliwa kushika nafasi ya Waziri Kivuli wa Katiba na Sheria wa Chama cha ACT Wazalendo. Madeleka ni mmoja wa waliokuwa wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambao walijiunga ACT Wazalendo karibuni.
Image from Swahili Times: Wakili Peter Madeleka ameteuliwa kushika nafasi ya Waziri Kivuli wa Ka...
😂 👍 ❤️ 🙏 18

Comments